Wednesday, December 9, 2009

CHANGES FROM ENGLISH TO KISWAHILI.

Napenda kuwajulisha kuwa kwa sasa blog yangu itakuwa kw alugha ya hadhimu ya Kiswahili ambayo ni lugha inayotumika sana katika nchi yetu Tanzania kwa kuelewana kwa ufasha zaidi kuliki lugha hii ua kigeni ya kufundishwa. Kiswahili tumezaliwa nacho,kwa hiyo ni rajisi sana kuzungumza na mtanzania mwenzako kwa ajili ya kuelewana zaidi.

Nakutakia kila la kheli karibu tuwe pamoja tena katika mijadalka mbalimbali.