Wednesday, October 18, 2017

MWALIMU WA SEKONDARI AWA MWENYEKITI UVCCM MUSOMA VIJIJINI



Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Murangi, Martine Juma Chacha, akijieleza katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki,kata ya Mugango, Wilaya ya Musoma Vijijini, wakati akiomba kura,aliibu mshindi kwa kupata kura 150, akifuatiwa na Jackson Nyakia kikomati ambaye alipata 124.