Sunday, January 28, 2018

WAZIRI MKUU NA UWANJA WA NDEGE MUSOMA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima, juu ya ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Musoma katika uwanja wa ndege wa Musoma ambayo alipokuwa katika ziara yake ya kikazi Mkoani Mara. Kiwanja hicho kitajengwa hivi karibuni, uwanja huu ukimalizika utaongoza pato la Mkoa wa Mara na Manispaa ya Musoma.