Mtaalamu wa upimaji, Huruma Lugalla akimwonyesha Waziri wa Ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi moja ya alama zilizopo katika mpaka wa Tanzania na Kenya Wilaya ya Rorya kijiji cha Kilongwe Mkoa wa Mara, kushoto kwa mtaamu huyo ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adamu Kigoma Malima na aliyevaa kofia ni katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Doroth Mwanyika.