Thursday, April 1, 2010

SAFARI YA FARIDA.
















SIKU YA MWISHO YA SISTER FARIDA DUNIANI.


kina mama wakiomba dua kabla ya mwili wa marehemu kwenda kumsetiri katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.


















KWA KHELI SISTER FARIDA MASOLI.


Aliyekuwa mtangazaji Mwandamizi wa Uhuru FM,Farida Masoli amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete aliongoza maelfu ya waombolezaji katika Maziko.