Thursday, April 1, 2010

KWA KHELI SISTER FARIDA MASOLI.


Aliyekuwa mtangazaji Mwandamizi wa Uhuru FM,Farida Masoli amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete aliongoza maelfu ya waombolezaji katika Maziko.









No comments:

Post a Comment