MKUU wa Wilaya ya Tarime, Glorious Luoga akipokea vitendea kazi.
MKUU wa wilaya ya Tarime akisaini kiapo.
Akiwa na mkewe, Mrs Stella Nyandindi mara baada ya kuapa.
Wakuu wa Wilaya,katika Mkoa wa Mara, wakiwa katika picha ya pamoja, mara baada ya kuapa, hapa ni bustani ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.
No comments:
Post a Comment