Thursday, May 4, 2017

Banda la Monyesho-Solar Appropriate Technology-Mei Mosi


Mwalimu kutoka nchini Korea, Dk.Hong-Kyu Choi akitoa maelezo ya jinsi kifaa cha kutumia umeme wa jua na kuchaji simu kinachofanya kazi katika banda la umoja wa vijana wa Wilaya ya Serengeti waliohitimuu mafunzo ya kutengeneza kifaa hicho ambapo jumla ya vijana 91 wamehitimu,hao ni MKuu wa Magereza Mkoa wa Mara, ACP,Golleha Massunzu na Mkuu wa gereza Wilaya ya Srengeti,Masanja Maharangata.

No comments:

Post a Comment