Friday, May 18, 2018
Ajali Mbaya yatokea Musoma.
Ajali ilitokea Mei 13 katika eneo la Nyasho, baina ya gari aina ya scania namba T299 BXR likiwa na kibeba mizigo namba T858 BTB, lililokuwa linaendeshwa na Masha Mstapha ambaye alikimbia baada ya ajali hiyo,ambapo aligonga gari aina ya Nadia Namba T248 BSG ambapo Didi Msira Koko na mkewe, Joyce waliumia vibaya na kukatika miguu ambapo wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya Bugando Mwanza.dreva wa bajaji ya harusi, Baraka Suguti hali yake pia siyo nzuri, yeye anaendelea na matibabu katika hospitali ya rufaa ya Musoma, anasema hana uwezo angeenda Mwanza, scania hilo liliingia kwenye duka spea za magari la Mang'ombe Joseph.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment