Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la AMREF,Festus Ilako akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Musoma Vijiji,Jamhuri William mkataba wa makubaliano ya miradi ya TUIMARISHE uzazi wa mpango,afya ya mama na maji utakaogharimu kiasi cha Sh.M.322, na mradi wa uzazi wa mpango na maendeleo ya mwanamke kiasi cha Sh.464 ikiwa na jumla ya Sh. Milioni 786 jana katika sherehe fupi zilizofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Mwisenge Musoma Mjini.
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la AMREF,Festus Ilako akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Tarime, Magreth Momburi,mkataba wa makubaliano ya mradi wa uimaishaji utoaji huduma ya afya ya msingi utakaogharimu kiasi cha ShB.1.3 katika hafala fupi iliyofanyika jana katika ukumbi wa Bwalo la Polisi,Mwisenge Musoma Mjini.
No comments:
Post a Comment