MKUU wa Wilaya ya Tarime, Glorious Luoga akimtambulisha kwa wananchi, Mwenyekiti wa Kamati ya maboresho ya hospitali ya Wilaya ya Tarime, Peter Zakaria katika ukumbi wa CMG MOTEL, ambapo alichangia Sh Milioni 10, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa bodi ya ya hospitali ya Wilaya hiyo, Daniel Komote,jumla ya Sh Milioni 281.4 zilichangwa.
No comments:
Post a Comment