Thursday, June 8, 2017
Saturday, June 3, 2017
Makamu wa Rais awasili Mwitongo-Butiama
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan alipokelewa na Chifu wa kabila la Wazanaki, Chifu Japheti Wanzagi, mara baada ya kuwasili alasiri katika Kijiji cha Mwitongo,alipozaliwa na kuzikwa mwasisi wa Taifa la Tanzania mzaliwa wa Mkoa wa Mara, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
EWURA yawataka wazalishaji wa Gesi kupunguza gharama za mtungi.
BUTIAMA.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wafanyabiashara wa mafuta ya gesi asilia kupunguza kiwango cha kununua gesi kwa watumiaji ili wananchi wa kipato cha chini waweze kuhimiri bei ya gesi na kuwasaidia katika kupunguza matumizi ya ukataji miti ovyo unosasabisha kutoweka kwa uoto wa asili ambapo kwa sasa watumiaji wa mkaa wanaongezeka na kusababisha mazingira kuharibika.
Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la Mamlaka hiyo, kuwanja wa Mwenge-Mwitongo Wilaya ya Butiama, Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) Kanda ya Ziwa,Nyirabu Musira,amesema kuwa upunguzaji wa bei utasababisha upungufu wa matumizi ya mkaa ambao ulikuwa ukitumiwa na wananchi.
Hii ni katika maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo kitaifa inafanyika kijijini Mwitongo Wilaya ya Butiama alipolelewa na kuzikwa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Leo kuna kongamano la hifadhi ya Mazingira linaloendelea katika Ukumbi wa Romani Katoliki jirani na kanisa alilokuwa anasali Baba wa Taifa, ambapo Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wafanyabiashara wa mafuta ya gesi asilia kupunguza kiwango cha kununua gesi kwa watumiaji ili wananchi wa kipato cha chini waweze kuhimiri bei ya gesi na kuwasaidia katika kupunguza matumizi ya ukataji miti ovyo unosasabisha kutoweka kwa uoto wa asili ambapo kwa sasa watumiaji wa mkaa wanaongezeka na kusababisha mazingira kuharibika.
Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la Mamlaka hiyo, kuwanja wa Mwenge-Mwitongo Wilaya ya Butiama, Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) Kanda ya Ziwa,Nyirabu Musira,amesema kuwa upunguzaji wa bei utasababisha upungufu wa matumizi ya mkaa ambao ulikuwa ukitumiwa na wananchi.
Hii ni katika maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo kitaifa inafanyika kijijini Mwitongo Wilaya ya Butiama alipolelewa na kuzikwa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Leo kuna kongamano la hifadhi ya Mazingira linaloendelea katika Ukumbi wa Romani Katoliki jirani na kanisa alilokuwa anasali Baba wa Taifa, ambapo Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba.
Gosol na mapambano dhidi ya Utunzaji wa Mazingira.
Mratibu wa mradi wa Shirika lisilo la kiserikali la Gosol la nchini
Finland,Heikki Lindfors kwa kushirikiana na Taasisi ya global Resource
Allience ya Madaraka Nyerere ya Mjini Musoma alitoa maelezo kwa
wananchi na waandishi wa habari waliofika katika banda la maonesho
nchini ambapo wamebuni mashine inayotumia mwanga wa jua kuoka mikate
itakayosaidia kupunguza uharibifu wa mazingira na itatoa mashine hiyo
kwa vikundi vya akina mama bure na kutoa mafunzo kwa vijana wapatao
watano ya kutengenezaji wa mashine hiyo ambayo hapo zitauzwa nchini.
Subscribe to:
Posts (Atom)