Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan alipokelewa na Chifu wa kabila la Wazanaki, Chifu Japheti Wanzagi, mara baada ya kuwasili alasiri katika Kijiji cha Mwitongo,alipozaliwa na kuzikwa mwasisi wa Taifa la Tanzania mzaliwa wa Mkoa wa Mara, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
No comments:
Post a Comment