Mmiliki wa Blog hii akiingia katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Mara, amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Mara kutoka Wilaya ya Musoma, na alishinda kwa kishindo katika nafasi ya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa UWT Taifa, ikiwa ni Wilaya moja ya Musoma, ikiwa imeungana na Musoma Vijijini ambayo ni Wilaya kichama kwa sasa.
No comments:
Post a Comment