Thursday, November 30, 2017

WAJUE WAGOMBEA WA UWT MKOA WA MARA.


Wagombea wa nafasi ya kiti cha Umoja wa Wanawake(UWT) Mkoa wa Mara, wa kwanza ni Veronica Mwijarubi Kunenge(138), Mwajuma Hamisi Magoti(55) na Wegesa Witimu akishinda kwa kura 245.

No comments:

Post a Comment