Saturday, May 22, 2010

BODI YA WAKANDARASI

MKUU wa Mkoa wa Mwanza,Abbas Kandoro akifunga Mkutano wa Wakandarasi wa eneo la Maziwa Makuu katika Ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu,jijini Mwanza, Kulia kwake ni Msajili wa Bodi ya Makandari Nchini ,Boniface Muhegi na Mwenyekiti wa Bodi ya Makandarasi Nchini Charles Kitwanga.
Uharibifu wa Miundo mbinu ya Barabara ulivyofanywa na greda,baada yakatwa kwa mabomba ya maji katika eneo la Mkolani Mtaa wa Uzunguni Wilaya ya Nyamagana.



WAZIRI Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wakandarasi Chuo cha Benki Kuu jijini Mwanza.
WAZIRI NA WAKANDARASI wa Maeneo ya maziwa Makuu.

No comments:

Post a Comment