Kikao cha Baraza la dharula cha baraza la madiwani Jijini Mwanza kimeitishwa leo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Wilson Kabwe kwa njia ya Simu kwa waandishi wa habari ni cha ghafla sana ambacho kinaweza kuwa na ajenda kali za madiwani wa jiji hilo.
Kikao hicho kibnatajia kuanza mchana huu katika Ukumbi wa mikutano wa Jiji la Mwanza.
Kwa mujibu wa taarifa kutoak amkwa baadhi ya wadau wa habri Mkoani hapa inasemekana kuwa kunaweza kuwa na ugomvi katia ya madiwani ama kuanza kwa kampeni zisizo rasmi kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ilisainiwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk Jakaya Kikwete.
No comments:
Post a Comment