Tuesday, February 23, 2010

KIAO CHA NEC MJINI DODOMA.

Mwenyekiti wa Chadema, Freman Mbowe akiwa amesika tama.

Mawaziri Wakuu,Cleopa Msuya, Fredrick Sumaye na Edward Lowasa wakiwa kwenye ukumbi wa NEC Mjini Dodoma katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM,tarehe 14/2/2010 picha Na: Eva-Sweet Musiba.
Mjumbe wa NEC Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akijadili jambo na Waziri Mkuu Msaafu, Mh.Edward Lowasa katika ukumbi wa white House Mjini Dodoma.






Wajumbe wa NEC,kanda ya ziwa katika Chirstopher Mwita Gachuma na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Clement Mabina wakifurahia jambo pembeni ni Mh. Waziri.









No comments:

Post a Comment