
Aliyekuwa Waziri wa fedha,Mh.Bazil Pesambili Mramba akigonganisha glass na Mwandishi wa habari Bi.Eva-Sweet Musiba kama ishara ya kutakiana kheli katika uzinduzi wa bia aina ya Ndovu,iliyofanyika katika ufukwe wa ziwa victoria Yughlong,Jijini Mwanza.
Miss Tanzania akikabidhiwa bendera ya Tanzania na Mkurugenzi wa TIC kabla ya kwenda kwenye mashindano ya Urembo wa Dunia mwaka 2009,

Kajege baada ya kjushinda kesi atinga Bungeni rasmi,kajege anayeonyesha mikono alikata rufaa na kushindwa dhidi ya Mtamwega Muganywa wa Chama cha TLP.
No comments:
Post a Comment