Thursday, September 30, 2010
SIKU YA MAZIWA SHULENI DUNIANI,MARA.
Saturday, September 25, 2010
KAMBI YA WAVUVI BUSEKELA MAJITA
RAIS WA KWANZA KUFIKA BUSEKELA BUKUMI MUSOMA VIJIJINI.
,Rais kikwete akitomba ridhaa kuwa Rais kwa mara nyingine tena,ni Rais wa kwanza kufika katika kijiji ch Busekela kata ya Bukumi Wilaya ya Musoma Vijijini.
Tuesday, September 14, 2010
Monday, September 13, 2010
Sunday, September 12, 2010
LELEMAMA NA SALMA KIKWETE
MAMA SALMA NDANI YA MJI WA MUSOMA
Thursday, September 9, 2010
PICHA YA JK NA WAGOMBEA WAKE ZACHANWA MARA
Wednesday, September 8, 2010
MABANGO YA JK NDANI YA MUSOMA.
MOSHI MWEUPE MUSOMA KUWAKA WIKI HII.
UZINDUZI wa Kampeni za CCM Mkoa wa Mara, unatarajiwa kufanyika Septemba 12 katika kiwanja cha Mkendo, Musoma Mjini huku mapambo mbalimbali ya kuwanadi viongozi yakisheheni shamra shamra hizo kwenye magari,mabango na nyumba.
Blog hii imeshuhudia mabango mbalimballi yakiwemo ya picha ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Majeshi mstaafu,jenerali Ernest Kiaro,akiwa katika Hospitali ya Rufani ya Bugando Jijini Mwanza.
Bango jingine ni lile la Mjane wa Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Nyerere,Mama Maria Nyerere likiwa kati ya shule za Iringo na Mkendo(viwanja vya Mkendo) ambavyo ni maarufu kwa mikutano mbalimbali mjini Musoma.
Kwa mujibu wa ratiba ya kitaifa,Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete atazindua rasmi Septemba 22,ambapo pia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atakuwa Mjini hapa Septemba 13 akizungumza na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Mkoa wa Mara (UWT).
Chama cha Mapinduzi (CCM) kina sifa zinazostahili kuongoza nchi na kuwaletea watu maendeleo,huku ukimya ukitawala kwa vyama vingine vya siasa.
Blog hii imeshuhudia mabango mbalimballi yakiwemo ya picha ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Majeshi mstaafu,jenerali Ernest Kiaro,akiwa katika Hospitali ya Rufani ya Bugando Jijini Mwanza.
Bango jingine ni lile la Mjane wa Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Nyerere,Mama Maria Nyerere likiwa kati ya shule za Iringo na Mkendo(viwanja vya Mkendo) ambavyo ni maarufu kwa mikutano mbalimbali mjini Musoma.
Kwa mujibu wa ratiba ya kitaifa,Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete atazindua rasmi Septemba 22,ambapo pia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atakuwa Mjini hapa Septemba 13 akizungumza na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Mkoa wa Mara (UWT).
Chama cha Mapinduzi (CCM) kina sifa zinazostahili kuongoza nchi na kuwaletea watu maendeleo,huku ukimya ukitawala kwa vyama vingine vya siasa.
Subscribe to:
Posts (Atom)