
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Col.Mstaafu Enos Mfuru,akigawa maziwa kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Elizabeth James wakati wa sherehe hizo kitaifa zilizofanyika Mkoa wa Mara,juzi katika viwanja vya mukendo.

Wadau wa maziwa wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi kwa makini.

Mwisenge shule ya Msingi aliposoma Baba wa Taifa,Hayati Mwl.Julius Nyerere walipamba sherehe hizo,shule hiyo ni maalumu kwa watoto wasiiona,wenye ulemavu wa ngozi,na viziwi na wengine ambao hawana ulemavu wowote.

Maandamano ya sherehe hizo mbele ya mgeni rasmi.
No comments:
Post a Comment