
Bango la CCM,likiwa kwenye viwanja vya Mkendo Mjini Musoma ambapo wiki hii kampeni rasmi mjini hapa zinaanza.JK akiwa na Mjane wa Baba wa Taifa.

Bango la CCM,likiwa katika barabara ya Nyerere,Mtaa wa Lucas Musiba,Nyasho,Mjini Musoma,Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete,akimjuli hali Mkuu wa Majeshi mstaafu,Jenerali Ernest kiaro,aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya Rufani Bugando Jijini Mwanza.Juni 5,2010
No comments:
Post a Comment