
Picha za wagombea wa Urais,Ubunge na Udiwani kata ya Mkendo ikiwa imebadikwa kwenye ukuta,kuashiria kuanza kwa kampeni Septemba 12 mwezi huu uwanja wa mkendo Mjini Musoma.

Kuchanwa huku kwa picha ni kuzipenda sana ama kutopenda wagombea waliokaa pamoja na mgombea Urais kwa tiketi ya CCM? TAFAKARI!!!
No comments:
Post a Comment