Sunday, February 3, 2013

BODI YA HOSPITALI YA RUFAA YA MUSOMA

BODI ya Hospital ya Rufaa ya Musoma ikiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uteuzi, wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara,John Tuppa,kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Baba Askofu Amos Muhagachi ambaye baada ya kuteuliwa alimtoa Katibu wa Hospital,Faustin Bigambo kwa utendaji mbovu katika Hospitali hiyo ili apangiwe kazi nyingine.

No comments:

Post a Comment