DC APOKEA HESHIMA KWA NIABA YA JK MAJITA.
MKUU wa wilaya ya Musoma,Godfrey Ngatuni,akipokea gwaride la heshima kwa niaba ya Amri jeshi Mkuu wa mjeshi ya Ulinzi na Usalama,Jakaya Kikwete wakati wa kufunga mafunzo ya mgambo katika kata ya Bukumi Wilaya ya Musoma vijijini jana.
No comments:
Post a Comment