Tuesday, October 19, 2010

MKURUGENZI CCM AKINADI DIWANI WA BWERI

MKURUgENZI wa uchaguzi Mkuu CCM Taifa,Matson Chizi akimnadai mgombea udiwani kata ya Bweri,Deogratius Ndege.

Akisisitiza jambo katani Bweri

Mkuu wa Wilaya ya Musoma aliyevaa miwani,Dodfrey Ngatani akiwa na wahitimu wa mgambo wanawake wa kata ya Buruma jumla ya waliohitimu ni 165.





No comments:

Post a Comment