
Khadija Kopa anafanishwa na Mmiliki wa Blog hii? angalia je kuna ukweli ndani yake?

Umati wa watu uliofurika katika viwanja vya Mukendo Mjini Musoma wakati wa kampeni za kujinadi kwa mgombea wa Urais Jakaya Halfani Mrisho kikwete.

Muhidin Issa Michuzi akiwa na Manyerere Jackton,magwiji wa habari nchini Tanzania.Wakiwa katika kijiji cha Busekela katika kampeni za Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
No comments:
Post a Comment