Monday, November 12, 2012

WAJUE WANEC 20 BARA NA ZANZIBAR NA KURA ZAO

DODOMA

Washindi wa Nec Bara,Stephen Wasira(2,135), January Makamba (2,093), Mwigulu Nchemba(2,010), Martine Shigela(1,824) na William Lukuvi(1,805).

Wengine ni Dk. Bernard Membe(1,455), Dk. David Mathayo(1,414), Wilson Mukama( 1,374), Jacksone Msome(1,207 na Dk. Fenella Mukangara(984).

Kwa upande wa Zanzibar walioshinda ni Dk. Makame mnyaa Mbarawa(1,850), Dk. Mohammed Seif Khatib(1,668), Khadija Hassan Aboud (1,625) na Shamshi Vuai Nahodha(1,603).

Wengine ni Dk. Hussein Ali Mwinyi(1,579), Samia Suluhu Hassan(1,525), Omary Yusuf Mzee(1,415), Banguaji Mansuria(1,406),Chasama(1,248) na Hamis Mbeto khamis (1,233).

Kwa matokeo haya inaonekana kuwa bado akina mama wako nyuma sana  kuthaminiana kutokana na mfumo dume ambao umezoeleka kwa Watanzania walio wengi, pamoja na kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk. Jakaya Kikwete kutoa kipaumbele na kutoa nafasi nyingi kwa akina mama kushika nyadhifa mbalimbali katika uongozi wake wakiwemo Spika wa Bunge na Mawaziri 
 lakini wenyewe kwa wenyewe wamekuwa hawapeani kipaumbele kwa kile kinachodaiwa kutokuwa na Umoja.

No comments:

Post a Comment