Monday, November 5, 2012

MTOTO WA MKULIMA AKIFUNGUA MAJENGO YA NHC







WAZIRI Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, Agosti 17 alizindua ujenzi wa maghorofa ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Medeli Mjini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka,kwa sasa Mji wa Dodoma unakua kwa kasi sana zaidi ya miji mingine kutokana na majengo mapya kuibuka haraka haraka,ndoto ya Dodoma kuwa Makao Makuu haswa sasa inaonekana kwa vitendo kuliko Mji ulivyokuwa hapo awali.

No comments:

Post a Comment