Saturday, March 6, 2010

MKUU WA CHUO MSAAFU AKITOA NASAHA.











Bi, Eva-Sweet Israel Musiba akiwa amejumuika na wenzake siku ya Baraza lake la Mwisho Chuoni hapo.Eva-Sweet ni Mwandishi wa habari wa kampuni ya Uhuru Publication limited.Amehitimu Stashahada ya Uandishi wa Habari Chuoni hapo. Pia aliwahi kugombea nafasi ya Urais akashindwa kwa kura mbili(2) tu! ameweka historia kubwa ya Chuo kwa chaguzi zilizowahi kufanyika hapo,kwa takribani miaka 10 ya Chuo. Na kuwa Mwanamke wa Kwanza kushinda kwa kishindo pia kwa wanaume pia haijawahi kutokea ushindani kama huo.
Hivi sasa ana nia kugombea Ubunge kupitia Jumuiya ya Wanawake ya CCM (UWT) Mkoa wa Mara.









No comments:

Post a Comment