Thursday, August 12, 2010

KURA ZA MAONI VITI MAALUM UWT MARA 2010

Naibu waziri wa Elimu ,Gaudentia Mgosi Kabaka aliibuika Mshindi wa kwanza kwa kupata kura 358.

Rosemary Kirigini 288.

Agness Mathew 277

Kichena Chambiri 264

Nacy Msafiri 257

Rukia Wandwi 214

Francis Stella Sana 96

Veronica Nyerere 62

Evelyne Warioba 63

Norah Mkami 62

Lucy Malegeri 76

Caroline Nyerere 50

Jane Ngabo 48

Eva-Sweet Musiba ambaye ni Mwandishi wa habari vyombo vya CCM na mmiliki wa Blog hii alipata kura 40.

Consolata Maganga alipata kura 24.

Pamoja na kuwa washindi kwa nafasi ya tatu hadi ya tano,wagombea ubunge hao walipigwa chini kwa kutoweza kuingia katika kinyang'anyiro cha kapu Mjini Dodoma.

Wasomi wengi waliojitokeza katika kugombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoani Mara walipuuzwa na kuchaguliwa wale ambao wana elimu ya chini.

kwa hili elimu kwa wapiga kura wetu itolewe si kuangalia pesa ya mtu kama ilivyokuwa katika uchaguzi huu.Pesa ilikuwa mbele kuliko uwezo na sera za mtu, na hata wajumbe kudiliki kuzomea baadhi ya wagombea.

No comments:

Post a Comment