Naibu waziri wa Elimu ,Gaudentia Mgosi Kabaka aliibuika Mshindi wa kwanza kwa kupata kura 358.
Rosemary Kirigini 288.
Agness Mathew 277
Kichena Chambiri 264
Nacy Msafiri 257
Rukia Wandwi 214
Francis Stella Sana 96
Veronica Nyerere 62
Evelyne Warioba 63
Norah Mkami 62
Lucy Malegeri 76
Caroline Nyerere 50
Jane Ngabo 48
Eva-Sweet Musiba ambaye ni Mwandishi wa habari vyombo vya CCM na mmiliki wa Blog hii alipata kura 40.
Consolata Maganga alipata kura 24.
Pamoja na kuwa washindi kwa nafasi ya tatu hadi ya tano,wagombea ubunge hao walipigwa chini kwa kutoweza kuingia katika kinyang'anyiro cha kapu Mjini Dodoma.
Wasomi wengi waliojitokeza katika kugombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoani Mara walipuuzwa na kuchaguliwa wale ambao wana elimu ya chini.
kwa hili elimu kwa wapiga kura wetu itolewe si kuangalia pesa ya mtu kama ilivyokuwa katika uchaguzi huu.Pesa ilikuwa mbele kuliko uwezo na sera za mtu, na hata wajumbe kudiliki kuzomea baadhi ya wagombea.
No comments:
Post a Comment