Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Musoma Mjini Vedastus Mathayo Manyiyi akiwa amekaa akisubiri kupanda jukwaani kunadi sera zake wakati wa akura za maoni,eneo la Nyakato Mjini Musoma.Mathayo amepitishwa na NEC kuwa Mgombea Ubunge jimbo la Musoma Mjini,ambapo atapambana na vyama vya Upinzani kama Chadema ambapo Mgombea wake ni Mtoto wa Kaka yake Baba wa Taifa,Marehemu Kiboko Nyerere,Vicent Nyerere.
Mgombea Ubunge Jimbo la Musoma Mjini,Eliud Esseko Tongola(Mkorea) alipata nafasi ya pili kwa kura za maoni.Ni vyema kuwa amefanya maandalizi mazuri kwa ajili ya awamu ijayo.
No comments:
Post a Comment