Tuesday, August 24, 2010

Mgombea Urais Jimbo la Busanda na Mgombea Ubunge pozi tofautitofauti





















Mgombea urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa ndani ya helkopta kuelekwa kwenye msiba wa mtoto wa Mgombea Ubunge Jimbo la biharamulo mashariki Wilaya ya Chato, John Magufuri kwa maziko ambapo ziara yake ya kuelekea Buseresere Mkoa wa Kagera imehairishwa kutokana
na msiba huo.



Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM,Rais Jakaya Kikwete,akimshika bega kama ishara ya kumnadi Mgombea Ubunge jimbo la Busanda,Lolencia Bukwimba wakati amkimnadi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Katoro Geita Mkoani Mwanza.

1 comment: