CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MUSOMA MJINI
ORODHA YA WAGOMBEA UBUNGE KURA ZA MAONI JIMBO LA MUSOMA MJINI.
1. NDUGU DEUS MUNASA SABI KURA ALIZOPATA 407
2. NDUGU ELIUD ESEKO TONGORA 3771 Mshindi wa pili
3. NDUGU ENOCK MWITA CHAMBIRI 1250 Mshindi wa Tatu
4. NDUGU FELISTA VITUS MRUSHA 312
5. NDUGU JULIUS HENRY LESHA 161
6 NDUGU JOHN KYABWE BWANA 69
7. NDUGU MAGORO MGALANI ALPHONCE 163
8. NDUGU VEDASTUS MATHAYO MANYINYI 6,489 Mshindi wa Kwanza.
9 NDUGU ZERULIA ZAKY MANENO 74
KURA ZILIZOPIGWA 13,546
KURA ZILIZOHARIBIKA 850
KURA HALALI 12,696
KATIBU WA CCM WILAYA YA MUSOMA MJINI ALIYETANGAZA MATOKEO MAMA HAULA KACHWAMBA.
Kuna uwezekano wa walioshindwa kwenda upinzani ama wakiunga Mkono wagombea wa katika kambi ya Upinzani kutoka na malalmiko yaliyopo na Vijana wengi waliojitokeza na kujiunga na CCM kwa ajili ya kuchagua wanayemwona anafaa watarejesha kadi za CCM kwa kambi za upinzani pindi tu kampeni zitakapoanza.
No comments:
Post a Comment