MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI TUKO Watanzania.Milioni 44,92902.
Taarifa iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema tumeongezeka sana kutoka mika ile na kufikia M.35. na kwamba Tanzania alisemakufikia mwaka 2016 tutakuwa M.51.
Amezitaka familia kutambua umuhimu wa kupanga uzazi, kwani kutakuwa kwa kazi kubwa hapo mbeleni kutokana na hali ya Uchumi, na kwamba ni lazima tufanye kazi kwa juhudi na maarifa.
No comments:
Post a Comment