Monday, October 15, 2012

HOTEL ALIYOIPENDA MAREHEMU KAMANDA BARLOW

GOLD CREST HOTEL YA JIJINI Mwanza, ambapo Marehemu alipenda kupumzika na kufanya mazungumzo pia  Chakula cha Usiku.

ROUND ABOUT ya NYERERE Inayoungana na Kenyata na kuelekea Uwanja wa Ndege wa Mwanza iliyokuwa ikitumiwa na Kamanda Barlow katika Shughuli mbalimbali za Ulinzi wa Amani Mkoani ambapo ni Mita chache kutoka ofisini kwake, Mkabala na Bandari ya North Port.

No comments:

Post a Comment